Snoop Dogg Afunguka Kuhusu Rap Game Na Kubadilisha Majina.

Rapper Snoop Dogg amefanya mahojiano ya kwanza kuhusu kubadilisha jina kutoka Snoop Lion na kuanza kutumia Snoopzilla. ...

Brandy Ahairisha Harusi Ili Kukamilisha Album Ya 7

Msanii wa rnb Brandy ameweka pending harusi yake na mchumba wake wa muda mrefu Producer Ryan Press ili kukamilisha cd yake ya saba al...

Cpwaa Asema Video Za Bongo Pesa Nyingi Zinatumika Ila Ubunifu Bado, Fuatilia Hapa.

Mkali wa crank Tanzania Cpwaa leo amesema kuwa Wimbo wake mpya wa Chereko Chereko umelenga masoko yote, nje na ndani ya Tanzania na vid...

Msanii Rabbit Wa Kenya Afanya Kazi Ya Uzalendo

  Baada ya kushika sana mitaa na rekodi yake ya Ligi Soo, Msanii Rabbit aka Kaka Sungura ameamua kuugeukia uzalendo zaidi kupiti...

Rick Ross Anategemea Mauzo Bora Baada Ya Kupata Shavu Lingine Na Jay Z.

Rapper Rick Ross ametoa maelezo kuhusu wimbo utakao changia mauzo ya album yake kuwa ni wimbo na rapper Jay z unaotoka mwezi ujao. ...

Picha, Nicki Minaj Asema Mambo Mengi Kwenye Muziki Wake Yamehamasishwa Na Star Queen Latifah

Rapper wa Young Money Nicki Minaj Amesema Mambo Mengi Kwenye Muziki Wake Yamehamasishwa Na old skul rapper wa kike Queen Latifah na ndi...

Eminem Yuko Tayari Kutoa Wimbo Mwingine Mkubwa Aliomshirikisha Rihanna.

Sio mara ya kwanza kusikia vichwa hivi viwili kwenye wimbo mmoja, walishawahi kusikika kwenye Love The Way You Lie, Love the Way You ...

Bow Wow Aonyesha Picha Za Mtoto Wake Lil Patna.

  Dunia ilishtuka miaka 3 iliyopita baada ya rapper Bow Wow kutangaza kuwa amepata mtoto wa Kike. Bow Wow amekuwa akiweka picha za m...

Ulisikia Ciara Kavalishwa Pete, Itazama Hapa

Future ambaye kwa sasa ni Mkali wa Chorus za ngoma kali za rap huko  mtoni amemvalisha pete mpenzi wake wa zaidi ya mwaka moja. Picha Z...

Tatto Mpya Ya Lulu Na Ujumbe Wake Viko H

Baada ya kusikia Lulu amejichora tatto kifuani yenye maneno ONLY GOD CAN JUDGE ME Sammisago.com imefuatilia na kujua kuwa ni kweli Tatt...

Diss Nyingine Ya 50 Cent Kutoka Kwa Rapper Game.

Diss nyingine kutoka kwa rapper Game kwa 50 Cent na this time inahusu kurudi G Unit. Rapper Game amelianzisha tena na hasimu mwenzak...

Real Madrid Yakanusha Kuwa Gareth Bale Ana Sumbuliwa Na Mgongo

Real Madrid imekanusha taarifa zilizo andikwa na gazeti la Marca kuwa mshambuliaji wake ghali kuliko wote duniani Gareth ...