Q CHIEF AFIKILIA KUCHUKUA FOMU YA BBA


 
Kutoka 255 ya xxl ya Clouds Fm, mtu mzima Q chief, amehabarisha hatua aliyoichukua leo hii, kuelekea katika office za MultChoice zilizopo barabara ya Ally Hassan Mwinyi, na kuchukua form kwa ajili ya usahili wa kumpata muwakilishi atakaeiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo mwaka 2013.Qchief amekua ni mtu maarufu wa pili kuchukua form baada ya mwanadada Wema Sepetu kuchukua form wiki iliyopita
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment