NDOA YA PREZZO NA GOLDIE FEBRUARY 9


Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali ya nchini Nigeria, rapper Jackson Makini maarufu kama Prezzo, anatarajia rasmi kufunga ndoa na mwanamuziki wa Nigeria Goldie February 9.
Baada ya taarifa hiyo kuendelea kuenea katika mitandao pia inasemakana kwamba harusi hiyo itafanyika jijini Lagos nchini Nigeria.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment