Sauti Sol walivyokutana na Obama


air
Wikiend iliyopita kundi la Sauti Sol walimake headlines duniani baada ya kuweza kumchezesha Rais Obama wimbo wa ‘Sura Yako’ wakati alipokuwa kwenye ziara Kenya…Leo Meneja wa kundi hilo amesema Rais Kenyatta aliwaahidi toka muda mrefu kuwasuport…pia nafasi hiyo imetoa mwanga kwao kwa kuwa wengi bado walikua hawalijui vizuri kundi hilo.
sol
Sauti Sol wakicheza pamoja wa ‘Sura yako’ na Rais wa Marekani Obama
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment