J Cole ataja wasanii wawili anaowataka ili aanzishe lebel.



j_cole
Rapa J. Cole amezungumza hivi karibuni kuhusu kufungua record lebel yake binafsi na kutafuta wasanii. Cole anasema ” yuko kwenye harakati za kumtafuta msanii wa kike mwenye uwezo na kufanana na marehemu Aaliyah au Missy Eliot ” .
Kuhusu lebel yake ya  Dreamville imprint J Cole anasema anawasanii wachecha anao wasaidia ila bado haijawa rasmi.
J Cole anafahamika kuwa ni msanii anaye kaambali na mitandao ya kijamii na hapa anaelezea sababu ” Sina cha kuwaambia watu milioni tano kila siku au kila wiki sasa kwanini niwenao, nikiwa na chakusema nitasema tu ila sio kila mara “.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment