Diamond Platnumz kwenye tuzo zingine nchii Ghana

4X7A9748
Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha wa wasanii wanao wania tuzo za 16 za Vodafone Ghana Music Awards. VGMA 2015.
Ijumaa ya 27 Feb majina ya wasanii wanao wania tuzo hizo yametajwa na Diamond ametajwa kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha msanii bora wa Africa -Africa Artist of the Year] na anagombania tuzo hio na wasanii Tiwa Savage wa Nigeria, Aka wa Africa Kusini, Don Jazzy na kundi la the Mavin Group, Patoranking wa Nigeria na Yemi Alade wa Nigeria
Vigezi vya kushinda ni kazima mshindi apatikane kwa kupigiwa kura na raia ambazo zinachukua asilimia 40, Kuea za Academy ni asilimia 30 na asilimia 30 ni za Board yao.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment