R kelly kapigwa na kudhalilishwa mara baada ya kukataa kufanya show

Msanii mkongwe wa R&B  kutoka Marekani ameingia kwenye misukosuko mara baada ya kuacha kufanya show katika club ya gulf port.
 
Kulingana na taarifa, inasemekana R.kelly alitekwa na kupigwa na vijana wa kundi moja linalo jiita Goons mara baada ya kugoma kufanya show kwenye club hiyo.Madai ni
kwamba alipewa hela kwaajili ya ku-perform lakini yeye hakufanya hivyo.
Sababu zilizo pelekea R.kelly kutofanya show hiyo ni kutokana na kuwa na uvamizi wa majambazi katika club hiyo mara kwa mara.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment