Picha: Amberose na D'banj ndani ya Nigeria

Wiki iliyo pita mwana dada Ambe Rose ali-post kwenye page yake ya IG na kuandika kwamba ataenda nchini Nigeria kwa ajili ya D'banj na hiki ndicho kilicho jiri.
 
D'banj alimuita Amberose kwa lengo la ku-host kwenye show yake aliyokuwa ameiandaa mjini Lagos mabapo show hiyo ilihudhuriwa na ma-celebrities wengi akiwemo Iyanya.
Endelea kutazama picha nyingine.


D'banj alipata nafasi ya kuwaonyesha tuzo zake alizo wahi kushinda katika muziki.





SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment