50 Cent amtukana rapper A$AP Rocky kupitia Instagram

Rapper mkongwe 50 Cent hivi karibuni amezidi kuingia katika headlines baada ya kuingia katika ugomvi na msanii mwenzake A$ap Rocky mara baada ya kutumia page yake ya twitter na instagram kwa kupost matusi akimtukana rapper huyo.
 
50 Amekuwa aki muandama Asap kutokana ali-post picha ya x-girlfriend wa 50 kwenye page yake,kitu ambacho kili mkera sana 50 na kuanza kumfurumushia matusi.
Tazama picha zinazo onesha post za wawili hao
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment