DIAMOND NA KUNDI LAKE WALA CHAKULA NA WATOTO YATIMA MOMBASA NCHINI KENYA


Diamond Platnumz na kundi lake wakiwa na watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya walipotembelea makazi yao na kula chakula na watoto hao.
 
Diamond Platnumz akimsaidia mmoja ya watoto yatima wa kituo hicho mjini Mombasa nchini Kenya kula chakula.
Diamond Platnumz na kundi lake wakiwa kwenye kituo cha kulea watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya.
Diamond na kundi lake wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment