ndugu wawili wa kisomali "Say My Name" wala shavu lebo kubwa marekani

Waschana wawili wenye asili ya kisomali Siham na Iman wameingia katika tasnia ya muziki baada ya kuondoka nchini kwao kwa sababu ya vita, na kuendelea kuwa wasemaji wakubwa wa nchi yao ambayo mpaka hivi sasa ina migogoro.
Kwasasa wawili hao wako nchini marekani LA  na wako chini ya lebo kubwa kwa ajili ya kuendeleza vipaji vyao ambapo wamejichagulia mziki kuwa kazi yao kubwa katika maisha yao.

Video hii ime-rekodiwa katika jangwa nje kidogo ya Nairobi nchini Kenya
Chini ya Studio Africa: video hiyo ilifanikiwa kutengenezwa 


SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment