G UNIT laungana upya



g unit
Kundi maarufu kwenye muziki wa Hiphop linalojumuisha wasanii kama 50 Cent,Llyoid Banks,Young Buck na Tony Yeyo waliwahi kutamba sana kwenye muziki wakiwa kama kundi na solo artist.
Baada ya muda waligawanyika baada ya msanii Young Buck kujitoa na hata utawala wao kwenye muziki ukapungua. Hivi sasa 50 cent amepost picha ikidokeza kwamba kundi hilo limeungana tena kama zamani.
Picha hiyo inawaonyesha wasanii hao wanne wakiwa kwenye pamoja na 50 cent aliandika, “Things go the way I say they go.now I think it’s time we get busy”.
g unit2
Kwenye comment ya picha hiyo mashabiki wengi wameonekana kufurahia kuungana tena kwa kundi hilo, hii ni  moja nyimbo zilizowahi kufanya vizuri enzi zao wakiwa pamoja.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment