Habari mpya kuhusu Chris Brown na kesi zake mahakamani.

brownLicha ya video yake ya Loyal kuendelea kumuweka pazuri kwenye soko lake la muziki,  bado kwenye maisha binafsi ya Chris Brown mambo yake hayapo vizuri.
Siku ya May 9 Chris Brown alihukumiwa siku 131 kwenda jela kwa baada ya kwenda tofauti na masharti aliyopewa kutokana na kesi ya Rihanna.
Chris Brown hivi sasa ameachiwa huru baada ya kukaa jela siku 108 na miezi michache ijayo kesi yake nyingine ambayo ilitokea Washington D.C itaanza kusikilizwa.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment