Maino Asema Jay Z Hapiganii Majina


Rapper Maino amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu kuita kazi yake mpya K.O.B. (King Of Brooklyn) inayotoka February4 nakusema kuwa kwenye mixtape hii amejipa jina la king of Brooklyn jina linalotumika na rappers wakubwa New York kama Marehemu  Notorious B.I.G, Msanii  Jay Z, na  Fabolous .
Maino amesema wasanii hao wote wamefahamu kuwa atatumia jina hilo na hawana habari na jambo hilo tofauti na watu walivyo tegemea. Maino anasema Jayz Na Fabolous tayari ni wasanii wakubwa na kujali kuhusu jina nalo jipa msanii kama mimi sio kazi yao kabisa.
Maino amemwita rapper Jay Z  ” The king of the world”  Na kwamba mtu kama huyo hana muda na rapper kama Maino.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment