WANALIENDESHA BARA LA AFRICA

Showbiz,wise africa is becoming one villege ambapo mastaa vijana wamekuwa wakikatiza mipaka na kujipatia umaharufu mkubwa kiuraisi.From Tanzania to Uganda,Kenya,Ghana na South Africa.Hawa ni vijana wapya kabisa jabokuwa washahanza kupata uzoefu wa kazi yao"CAMP MULLA"
They considered as one of the most exciting upcoming music groups in kenya kama sio east afrika.Ingawa vijana wenye umri wa miaka 30 and above wamekuwa wakiuita muziki wao"Bubblegum" lakini ndio wamekuwa wanamuziki wa kwanza kutoka east africa region kuwa nominated for BET Awards.
Camp mulla ambao tayari wameshashinda tuzo zaidi ya mbili walianza mziki lasmi mwaka 2010 na ni group linalo unda na vijana wa nne,MC Tyla aka peter okello,yound kass aka benoti kanema,miss karun alisi karungari mungai na the multitalented Marcus kibukosya ambaye ni Record producer,songwiter and rapper wakiwa chini ya uongozi wa CEO michel mutooni aka mykie tuchi
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment