AISHA MADINDA SASA AWA MMENYA VIAZI VYA KIEPE

mcheza show wakike aitwae AISHA"Madinda alikuwa anamwaga mauno.kwa taharifa ya aisha kwa sasa carrier yake imebadilika kutoka kwenye uchezaji show hadi kwenye umenyaji viazi vya chips uswahilini. SUCCI1.BLOGSPOT.COM imekutananae katika pub moja iitwayo Prince Pub iliyoko kinondoni akipiga mzigo wa kumenya viazi vya kiepe kuanzia saa kumi na moja jioni hadi kwenye mida ya saa nne usiku.
Kwamadai ya ROCK SOLID SNITCH aliye karibu na madinda alisema;
"Nashindwa kuamini kama huyu ni yule aisha ambaye midume ilikua ikimmezea mate kutokana na tantalizing shape yake kwamba ndio amepinda kiasi hichi cha kuja kumenya viazi huku uswahilini"
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment