
Raque akiwa na Diamond kwenye interview
Meneja
wa Diamond Platnumz, Raqey Mohamed amelazimika kutumia mtandao wa
Facebook kukanusha habari iliyoandikwa na gazeti la udaku la ‘Jumatatu’
kuwa ametapeliwa na Diamond. Amesema Diamond ni mchapakazi na mwaminifu
na mkataba wao hauhusiani na mtu yeyote.Raqey ameandika, “this is coming from me Raqey known as Diamond Platnumz Manager, hakuna ukweli wowote juu ya habari hii, Diamond is a hard working kind and loyal. Our contract has nothing to do with anybody. If you want to write a story at least pay a visit to my studio or call me before you write a story.”
0 comments:
Post a Comment