HUYU NDIO MSANII ALIYETENGENEZA PESA ZAIDI KUPITIA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA KENYA.

Msanii wa injili DNG wa nchini Kenya amebainika kuwa ndie aliyechuma fedha nyingi katika kampeni za uchaguzi wa Kenya baada ya kupata dili nono la chama cha Uhuru Kenyatta cha TNA la kusimamia shoo pamoja na promosheni za mabango na kwenye mitandao ya jamii.Hii ni kinyume na ilivyodhaniwa awali kuwa Jaguar ndie aliyechuma fedha nyingi za kampeni lakini takwimu mpya za wasanii waliovuna mamilioni ya hela za Kenya kutoka kwa wanasiasa wakati wa kampeni zao zinaonyesha DNG ndie kinara.
Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Kenya unasemekana ni uchaguzi ghali mno kuliko yote ambapo wasanii wengi walijivunia mamilioni ya fedha kutokana na kutumbuiza kwenye kampeni za wagombea
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment