Baada ya siku kadhaa za maoni, Ommy Dimpoz aliamua kufungua kinywa chake kuzungumzia hayo maoni kwa mara ya kwanza kupitia AMPLIFAYA ya CLOUDS FM March 8 2013 saa moja usiku.
.
“Kilichonishangaza zaidi ni kwamba mapokeo ya watu katika maoni, wanavyoiongelea ndio vitu ambavyo kidogo vimenishangaza kwa sababu mtu anatoa comment mpaka anatukana, anaponda kupita kiasi, maneno yanakua mengi kiasi kwamba unaweza kuona kama umeua vile….. unapomfikishia mtu maoni katika hali ya kujenga kuna aina ya kumwambia mtu katika hali kwamba tunajenga, huwezi kuzuia watu kuongea lakini inapofikia time inabidi watu waweze kuwa waelewa”
Kuhusu kurekebishwa kwa hiyo video, Ommy amesema bado wako kwenye mazungumzo hivyo mambo yatakaa sawa tu manake mazungumzo bado yanaendelea
.
0 comments:
Post a Comment