DIAMOND AMKANA MGAGA WAKE 'SI MFAHAMU MGANGA YOYOTE WA JADI'


Naweza kusema kwamba mwaka huu kwa Diamond utakuwa kama ni wa msala juzi juz tulisikia kwamba aliletewa fujo katika show yake iliyofanyika ndani ya Maisha Club.
Leo asubuhi baada ya magazeti ya siku kutoa vinjwa vingi vya habari vilikuwa vikisema kwamba Mganga wa Diamond amejitokeza na anatokea maeneo ya Magomeni "Ustadhi Yahya Michael"baada ya kusikilia habari kama hizi tuliamua kumpigia simu Diamond na akasema kwamba hamfahamu huyo mganga na wala hajiweki katika mambo ya kishirikina ni uongo mtupu"alisema Diamond.
Hili ndiyo gazeti ambalo limechukua nafasi kubwa ya story kati ya diamond na mganga wake

  Picha ni Bw.Yahya Michael ambaye alijitokeza na kuweka wazi kwamba yeye ndiye Mganga wa Diamond 
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment