STEVE RNB ATATUA UTATA WA NANI MANAGER WAKE


 
Leo hii Steve rnb amefunguka juu ya utata uliokuwepo kati ya producuer wa Combination sound, Man Walter, na  kampuni ya KVelli, ambapo kila mmoja kwa wakati tofauti amedai kusimamia kazi zake.
steve rnb ambae kwa sasa yuko nchini Uholanzi, amefunguka na kusema, "Man Wolter na hisi yeye alikua hajaweka wazi, na mimi mwenyewe nilikua bado sijamuelewa, kwasababu wakati mi nimetoka Ujerumani nilikubaliana nae kusimamia ngoma ya "radio" niliyofanya na Ommy Dimpoz,ambapo mikataba yote ilikua kwenye huo wimbo, 
sasa mimi nilifanya jambo jambo kwa nguvu zangu mwenyewe, kwa bahati nzuri nikapata wadhamini ambao ni hao washkaji, vijana wenzagu KVelli, nikaamua nifanye nao kazi, na nikasaini nao mkataba, na kila kitu kipo kamili, tulikua tunakamilisha mambo madogo madogo kama loya na vinginevyo lakini kila kitu kitakua tayari by tommorow. huo ndio ukweli." amesema Steve rnb.
Licha ya hivyo vyote, K Velli wametangaza kuachia single nyingine mpya kutoka kwa Steve rnb hivi karibuni special kwa ajili ya valentine.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment