LULU BADO AJATIMIZA MASHARTI YA DHAMANA



Kwa habari ambazo zimetufikia ni kwamba baada ya Lulu kupata dhamana yake ya kuachiwa,lakini mpaka sasa ni kwamba hajaachiwa kwasababu ya taratibu za dhamana hazijakamilika.  ili atoke inabidi masharti na taratibu za mahakama zifuatwe na ndipo kusainiwa na Msajili wa Mahakama Kuu. Kwa leo asipoachiwa kutokana na taratibu hizo za mahakama basi kesho hatapelekwa tena Mahakamani kwa kusikiliza Dhamana yake aliopewa na mahakama


SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment