DIAMOND AMKAMATA MMOJA KATI YA WALE WALIO MPIGA MAYAI VIZA

                           
 Baada ya siku 29 kupita  tangu alipofanyiwa vurugu za kutosha, wakati wa show yake aliyokuwa akiifanya ndani ya Maisha Club, na kusababisha watu kadhaa kuumia, chupwa kurushwa na mayai viza kurushwa, huku akiachwa bila ya cheni, saa wala miwani alizokuwa amezivaa na kuambulia boooooo kibao, siku ya jumamosi Diamond alipokuwa akielekea Kigamboni kwenye show aliyokuwa anaifanya huko akiwa na msanii Z Anto, alifanikiwa kumkamata mmoja wa walioanzisha vurugu hizo, akiwa ndani ya pantoni nae akielekea kigamboni na kumkamata kumpeleka kituo cha polisi cha karibu huku wazazi wa kijana uyo wakimtaka Diamond kumsamee mwezie nakitu anacho taka msanii huyu ni fidia ya pesa ndefu sana alipwe kwa usumbufu na kupoteza viyu vyake wakati akiwa kwenye show hio
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment