Diamond aelezea jinsi Mh Raisi Kikwete alivyofanikisha kukutana kwake na meneja wa Trey Songs

Kama ulikuwa hufahamu basi skia nikwambie, collable ya Diamond na Davido "Number one Remix" ndio imeanzisha safari kubwa yakutambulika kwa Diamond Africa na nje ya Africa mpaka kumpelekea kuchaguliwa katika tuzo za MTV MAMA na BET
Sasa kali kuliko hiyo ni pale ambapo inaonekana kunukia kwa safari ya kimataifa zaidi kwa mtu mzima Diamond na hasa kunukia kwa collable ya kimataifa zaidi. 


Sasa kolabo inayonukia sasa hivi ni ya staa wa muziki kutoka Marekani ambae ni Trey Songz ambae taarifa za ndani zinadai kwamba kama kolabo hii ikifanikiwa basi Rais Kikwete atakua ameshiriki kuiunganisha kwa asilimia zaidi ya 90.
Kwenye picha President ameonekana akiwa karibu sana na meneja wa Trey Songz na waliongea kwa kirefu, kwa sababu President siku zote anasupport sana Wasanii wake wa Tanzania.

SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment