Ja Rule Na 50 Cent Kwenye Ndege Moja, Jua Kilichotokea Hapa


Rapper Ja Rule amesema kwa wale wanaosubiri vijana wawili wenye mafanikio kupigana risasi, Muda huo umepita. Ja Rule amefunguka haya baada ya kupanda ndege moja na rapper mwenye beef na yeye,Rapper 50 Cent bila tatizo lolote kutokea kati yao baada ya kuonana.  Kwenye twitter ya Ja Rule tarehe 18 November Ja Rule aliandika hii kwenye Twitter. Je Huu ndio mwisho wa beef yao na Ja Rule kutokuwa na hit single kwenye radio inamfanya awempole au ?

SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment