NANDO ALIPO FIKA CALIFONIA

Baada ya kutolewa katika mashindano ya BBA 2013,kwa kukiuka sheria za Biggie na kukutwa na kisu, mkasi pamoja na maneno ya vitisho dhidi ya mshiriki kutoka Ghana (Elikem), Army Nando ameshatua LA, Califonia, na kukutana na mama yake mzazi "Nancy Assenga" ambae pia ni meneja wake pamoja na mkurugenzi wa Swahili TV "Alex Kasuwi"


Nando akiwa na mama yake mzazi



kutoka kushoto ni Mayor wa LA, Deo Temba, Army Nando, Nancy Assenga (Mama mzazi na manager wake) pamoja na mkurugenzi mtendaji wa Swahili TV Bwana Alex Kassuwi

SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment