MWENYEKITI WA PARAZA LA CONGERESS AJIUZULU

Mwenyekiti wa baraza la kitaifa la congress nchini libya amejiuzulu kufatia kupitishwa kwa sheria mpya inayoharamisha yoyote aliyefanya kazi katika serikali ya hayati Muamar Gaddafi kushikilia wadhifa wowote katika serikali ya sasa

Muhammad al-magarief amesema kwamba anajihuzulu kwa roho safi tu na akiwa anajivunia kufanya hivyo alisema maneno hayo baada ya kukamilisha hutuba yake kwa baraza la congress
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment