
salama j amesema yeye anatatizo na T.I.D na kama ujui salama na T.I.D ni mtu na ndugu yake so salama asema anatatizo na T.I.D japo kuwa mnyama yeye akusema kama yeye na salama ni mtu a nduguye.Ila kwa upande wa salama asema hato acha kumpa interveiw T.I.D ataikiwa vipi na kuhusu kukimbia asema yeye akukimbia sehemu yoyote anashangazwa na maneno ya mnyama t.i.d.
T.I.D alisema yeye alitaka kumkumbusha kwamba salama yeye ni mwanamke na SALAMA asema nayeye alitaka kumkumbusha T.I.D kwamba yeye salama ni dada yake.
hayo nimaneno ya salama akiwa anaongea kwa pozi leo hii
0 comments:
Post a Comment