NAKAYA AWAOMBA MSAMAA WATANZANIA KWA KURUDISHA KADI YA CHADEMA

Nakaaya Sumari: Najilaumu kurudisha kadi ya CHADEMA!

- Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM, ameomba radhi watanzania na wanachama wa CHADEMA kwa kurudisha kadi ya CHADEMA na kuchukua ya CCM
- Adai ni kosa kubwa ambalo amelifanya katika harakati zake kwani CCM walifanya aache kabisa siasa
- Akanusha kuhamia CCM kwa ushawishi wa fedha!

Endelea kusoma -> http://j.mp/12gPSmX
Nakaaya Sumari: Najilaumu kurudisha kadi ya CHADEMA!

- Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM, ameomba radhi watanzania na wanachama wa CHADEMA kwa kurudisha kadi ya CHADEMA na kuchukua ya CCM
- Adai ni kosa kubwa ambalo amelifanya katika harakati zake kwani CCM walifanya aache kabisa siasa
- Akanusha kuhamia CCM kwa ushawishi wa fedh 
ila kuna mengi yalisemwa juu yangu mimi y? nililudisha kadi ya chadema ooho mimi msaliti wa chama mara ohoo mimi nimepewa pesa ila watu awajui kwanini nilirudisha kadi 
mimi kama mimi nimepitia mengi nimepata vitisho vingi sana juu ya maswala ya siasa  that why nimejiyoa sitaki tena nimeona sipawezi kule sio mahari bangu mimi bola niwahachie wakina halima mdee wao inaonekana wana paweza sana nashukuru mungu hameniweka hai hadi leo hii japo kuwa nilipata ajari ikanifanya niwe kimya sana kwa kipindi hicho chote.
ila kwa sasa nimerudi na makazi yangu nini ya amisha dar kwa mda hadi pale mambo yangu yatakapo kuwa sawa ya kimziki tuna elewa wazi kwamba dar es salaam ndo sehemu ya kazi hata kama watu wanasema ni pachafu ila huku huku ndo wanapo kuja kufanya biashara zao.
yaaha nina ujauzito ahahahahahahahahahahahah so soon nitakuwa mama,mpenzi wangu ni msukuma but yupo arusha na yeye,na wala sio mtu wakujulikana sizani kama watu wanamjua kwa ufupi sio maharufu,
nyimbo yangu mpya amenisahidia kuandia rich mavoko kwa sababu mimi sio mtu mzuri sana wa kuandika kiswahili kile kinacho eleweka that y akanindikia 
watanzania wangojee mambo mengi sana kutoka kwangu naomba waipokee upya tena yaah niayo tu
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment