Habari tulizozipta sasa hizi sinasema yule mtuhumiwa #2 Wanafikiri
ameonekana alikokua amejificha na Polisi walifyatua risasi kadhaa huku
wakijaribu kumpata akiwa hai, mapema mtuhumiwa wa kwanza ambaye ni kaka
yake aliuwawa mapema leo baada ya kujaribu kutoroka na gari waliyoipora
kutoka kwa mkazi mmoja wa mji huo wa Watertown uliopo maili chache
kutoka Boston kwa sasa Polisi wamezunguka sehemu alikojificha Mtuhumiwa
huyo wa Milipuko ya Boston Marathon.Mjini. tutazidi kuwaletea habari
zaidi
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment