MUONEKANO MPYA WA BEYONCE

Hakuna tatizo kama ukibadilika katika fashion kila baada ya muda fulani, Beyonce hivi karibuni alipost picha zake mpya kwenye instagram, akiwa katika muonekano wake mpya aliokuwa akiujaribu. Mkali huyo Hov’s wife Beyonce alipiga kivulana vulana (Tomboy) akivalia skin tight pants, sneakers na kofia ambayo imeandikwa “Beyond” .
Inaonekana labda King Beyonce alitaka kuhisi yuko karibu na bwana wake Jay – z na hilo ni chaguo lake. Beyonce aliweka wazi muonekano huo na picha nyingine ikiwa imezungukwa na moshi. Inaonekana kama hakuna muonekano mwingine ambao Beyonce anaweza kujaribu aonekane fresh. Una mawazo gani kuhusu new swag ya Beyonce?
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment