

Msanii huyo ambae alikuwa anakuja kwa kasi na kufahamika katika kiwanda cha muziki Nigeria. Jana alipigwa risasi mbili kichwani na moja mkononi ilikuwa ni kwenye geti la chuoni (Lagos State University) alikuwa akitoka kufanya test ya mchepuo aliokuwa akichukuwa ya Management Science…Rest In Peace Damino Damoche.
0 comments:
Post a Comment