MSANII WA NIGERIA DAMINO DAMOCHE APIGWA RISASI NA KUFARIKI HAPO HAPO

Kweli maisha hayatabiriki leo uko hai kesho haujui, Damino Damoche ambae ni msanii na mwanafunzi wa Lagos State University (LASU) huko Nigeria, hakujua kama maisha yake yatafikia mwisho kama yalivyofikia, jinsi alivyopiga hiyo picha na rafiki yake ilikuwa ni muda mfupi kabla ya kifo kibaya kilichomkuta msanii na mwanafunzi huyo. Wala hakujua kama kifo chake kilikuwa karibu hivyo baada ya kutweet hiyo jana “Anticipate New Single Dropping Soon”.
Msanii huyo ambae alikuwa anakuja kwa kasi na kufahamika katika kiwanda cha muziki Nigeria. Jana alipigwa risasi mbili kichwani na moja mkononi ilikuwa ni kwenye geti la chuoni (Lagos State University) alikuwa akitoka kufanya test ya mchepuo aliokuwa akichukuwa ya Management Science…Rest In Peace Damino Damoche.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment