Lady Jay Dee:NASUMBURIWA SANA NA NDOTO ZA HAJABU

  Jinsi ninavyosumbuliwa na ndoto mbaya za kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, na niliongea na watu ambao walinishauri kufanyiwa dua na Maalim ambae ni dehebu la Islam



Habari za kazi?
Katika kipindi cha Diary ya Lady JayDee cha
Jumapili ya tar 3/3/2013
Niliongelea jinsi ninavyosumbuliwa na ndoto mbaya za kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti.
Na niliongea na watu ambao walinishauri kufanyiwa dua na Maalim ambae ni dehebu la Islam
Lakini nmepokea msg toka kwa watu mbali mbali, wengine kudhani sio sawa mimi kufanya hivyo sababu mimi ni CHRISTIAN
Ila nilikuwa nafikiria, MUNGU ni mmoja na sala yoyote inaweza ikapokelewa
Au ni lazima uwe dini flani kuombewa na mtu mwenye dini kama yako??
Ni mtazamo tu.
Na kuna maoni mengine ni ya kisayansi
Tupia maoni yako unafikiriaje kuhusu hili swala???




Na hizi ni baadhi ya msg nilizopokea toka kwa watu mbali mbali
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment