Imetokea leo hii dakika chache zilizopita Morogoro Road na
Indira Gandhi (City Centre - Dar), Inasemekana Watu wapatao 60
walikuwepo ndani yake.. watoto wa Madrassa walikuwemo katika jengo hili
na pia mpaka sasa maiti zilizoopolewa ni 14 na majeruhi zaidi ya 30
wamekimbizwa hospitali, Bado pia kuna baadhi ya watu hai ndani yake.
Jitihada za uokoaji zimeanza kufanyika, Waziri Nchimbi tayari
amekwishafika eneo la tukio mpaka sasa japo kuna uhaba wa vyombo
vinavyostahili kushughulikia hali hii.
Inasemekana majeruhi zaidi ya 30 wakimbizwa hospitalini na Maiti 14 zapatikana!! Mwenyezi mungu
azilaze
roho za marehem mahali pema peponi, Amin.... Natoa pole zangu kwa
wafiwa mpate nguvu katika kipindi hiki kigumu, na majeruhi nawatakia
kupona haraka!!
Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.
0 comments:
Post a Comment