ZIGGY MARLEY AFUNGUKA KUHUSU SNOOP LION KUWA JAH

Mtoto wa Bob Marley, Ziggy amezungumzia hatua ya Snoop Dogg ama Snoop Lion kama anavyojulikana sasa kujibadilisha imani na misingi yake kuingia katika U-Rastafarih ambapo mkali huyu amesema kuwa, sio kitu kibaya na muda peke yake ndio utaweka mambo bayana kuwa Snoop ni kweli amedhamiria maamuzi yake ama kitendo chake ni mbinu tu y
a kumpatia 'mulla' zaidi.
Snoop Lion tayari ameshakumbana na misukosuko kadhaa tangu alipotangaza nia yake hii, ikiwepo kuzushiwa kuangushiwa kichapo na Ma-rasta huko Jamaica, ambapo mwanamuziki mkongwe katika imani ya Urasta, Buny Wailer pamoja na wengineo tayari wameshajitokeza hadharani kumpinga na kumkosoa.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment