SIRI YA SNOOP DOGG NA G UNIT AFICHUA

Dj Wa G Unit , DJ Whoo Kid amefichua siri kuwa rapper  Snoop Dogg aka Snoop Lion alitaka Kujiunga Na G Unit Miaka10 iliyopita. Kupitia Thisis50.com who kid amesema wakati wa kurekodi rmx ya P.I.M.P Miaka Ya 2000 Snoop Dogg aliongea na 50 cent kuhusu kuingia lebel yake Ya G Unit Na Walikubaliana kuingia mkataba wa miaka mitano. Ila baada ya mazungumzo na Dr Dre, Snoop alibadilisha mawazo.
Whoo kid amesema rapper  mwingine aliyetaka kujihusisha na lebel ya G Unit alikuwa Master P kupitia Lebel yake ya No Limit.
50 Cent Na Snoop Lion
Wimbo mpya waliofanya pamoja Snoop na 50 cent ni Major Distribution na Upo Kwenye Album mpya ya 50 Cent YaStreet King Immortal.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment