HUYU NDIO MTOTO WA DARASA LA TATU U.S.A ALIFUNGWA PINGU NA MWENZIE BAADA YA KUPIGWA.

.
Daah! hii stori sio comedy lakini wakati mwingine unaweza kucheka kabisa kutokana na kisa chenyewe.
Ukijaribu kupata picha ya jinsi tukio lilivyotokea na hasa kwa umri wao mdogo yani ndio inakua tabu na  chanzo bado hakijajulikana.

Yani ni kwamba katika shule moja huko Bronx New York Marekani kuna mwanafunzi mmoja wa darasa la tatu kampa kichapo mwanafunzi mwenzake wa darasani kisha akamfunga na pingu kwenye chuma ukutani shuleni alafu akamalizia kwa kumuibia dola 5.
Polisi wametangaza kumsaka huyo mtoto ambae inaashiria hata akija kuwa na umri mkubwa atakua mwepesi wa kufanya uhalifu au kudhuru wengine, ndio ujiulize akija kupata bastola siku moja katika nchi hiyo ambayo upatikanaji wa bastola ni mrahisi itakuaje?
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment