HABARI ZA MATUMAINI KUSHINDWA KURUDI TANZANIA FEB 3



Waigizaji zaidi ya 30 ambao jumapili february 3 2013 walijitokeza kumpokea mwigizaji mwenzao mgonjwa Matumaini, walirudi mikono mitupu baada ya mwigizaji huyo aliekua anatarajiwa kuwasili Tanzania akitokea Msumbiji kushindwa kufanya hivyo chanzo kikiwa ni hati yake ya kusafiria ambayo akiwa uwanja wa ndege aliagizwa kuishughulikia kwenye ofisi za uhamiaji ambazo zipo mbali na uwanja wa ndege.
.
Matumaini amekua Msumbiji kwa wiki kadhaa alikokwenda kufanya show lakini muda mfupi baadae mambo yakageuka na kuanza kuumwa miguu, mwigizaji huyu anatarajiwa kuwasili Dar jumanne au jumatano na tayari umoja wa waigizaji umepanga kumpeleka hospitalini moja kwa moja.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment