BUNGENI KWAWAKA MOTO KIKAO CHA BUNGE CHAVUNJIKA




Hali ya  bunge la Jamhuri  ya Muungano  wa Tanzania  si shwari baada ya  wabunge  wa CCM na Chadema  kuvutana  bungeni  sasa .


Hivi  sasa mwanasheri mkuu  wa serikali ameingilia kati  kwa  kutoa japo  uwezekano  wa kuongea umekuwa mgumu baada ya wabunge wa Chadema  kufanya  vurugu  kubwa kwa kuimba CCM! CCM!,CCM !!



Hadi  sasa hali  imeendelea  kuwa tete katika ukumbi  huo wa  bunge  baada ya  wabunge  kugomea hoja hiyo ya mbunge wa jimbo la Ubunge John Nyika na bunge  kuhairishwa na bunge limevunjika hadi kesho asubuhi 
Fuatilia..!
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment