BEN POL ATOA SABABU YAKUANZA KUTOZA PESA KWA MSANII ATAKAYETAKA AFANYE NAE CHORUS AU KUMPA IDEA YA CHORUS


Msanii Ben Pol pichani amesema kuwa amechukua uamuzi wa kuanza kutoza kiasi cha pesa kwa wasanii watakaotaka kufanya kazi na yeye kutokana na idadi kubwa ya wasanii ambao wanataka kufanya nao kazi.Ben Pol alisema hivi sasa ni rasmi kuwa kwa yeyote yule ambaye atataka kumshirikisha kwenye 'Chorus' na tayari amesharekodi 'Verse' atatakiwa amlipe laki 5.Kama msanii anakuwa hana wazo kabsaa na anataka yeye ndo amtengeneze wazo itabidi amlipe shilingi laki 8.
Ben Pol alisema mpaka sasa anapokea simu mpka zaidi ya 10 wasanii wakitaka kufanya kazi nae.Kwahiyo dizaini Ben Pol atakuwa hakosi kitu cha Milioni 5 flani hivi kwa ishu hii.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment