KENDRICK LAMAR ASEMA ALIFUTIWA NA TUPAC, KURUPT NA ICE CUBE.

Kendrick Lamar best rapper 2012 mkali kutoka Compton amesema yeye katika maisha ya muziki alivutiwa sana na Tupac, Ice Cube na Kurupt. Sio siri kwamba Kendrick Lamar anaendeleza kufanya maujanja ya miaka ya 90 ile Hip Hop ya West Coast. Akipiga stories kwenye ‘The Rickey Smiley Morning Show” Kendrick Lamar alitaja wasanii watatu ambao anasound kama wao. Alipoulizwa wasanii gani ambao anawakubali sana na walimvutia yeye kuingia kwenye muziki alisem yeye katik style yake anamchaanyiko wa Kurupt, Tupac, na Ice Cube. Alisema kulinganishwa huko ni matokeo ya yeye kukua na muziki wa Dr.Dre, Snoop Dogg na wengine


SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment