HUU NDIYO MUHONEKANO WA VIDEO MPYA YA MWANA FA INETENGENEZWA HAPA NA KUFANYIWA EDITING NCHINI SOUTH AFRICAN


Siku za hivi karibuni baada ya Mwana FA kufunguka katika mtandao na kusema kwamba anatarajia kwenda nchini South African kufanya video wa wimbo wake mpya ambao ameshirikisha band kongwe inayofahamika kwa jina la Kilimanjaro Band na Domokaya,Mandojo.
Sasa leo mchana chini ya director Karabani pamoja na Mwana FA walikuwa wakifanya shooting wa wimbo huo mpya ambao soon mwana FA anatarajia kuipelekea video hiyo nchini South Africa kwa ajili ya editing kama ilivyoripotiwa na watu wa God Father ambao watahusika katika kuifanyia editing video hiyo mpya.



                                                  Mwana FA,Bill na Domokaya
                                                                   Mandojo
                                                                   Domokaya   

SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment