Siku za hivi karibuni baada ya Mwana FA kufunguka katika mtandao na
kusema kwamba anatarajia kwenda nchini South African kufanya video wa
wimbo wake mpya ambao ameshirikisha band kongwe inayofahamika kwa jina
la Kilimanjaro Band na Domokaya,Mandojo.
Sasa leo mchana chini ya director Karabani pamoja na Mwana FA walikuwa
wakifanya shooting wa wimbo huo mpya ambao soon mwana FA anatarajia
kuipelekea video hiyo nchini South Africa kwa ajili ya editing kama
ilivyoripotiwa na watu wa
God Father ambao watahusika katika kuifanyia editing video hiyo mpya.
Mwana FA,Bill na Domokaya
Mandojo
Domokaya
Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.
0 comments:
Post a Comment