CHRIS BROWN:DONT JUDGE ME


  CHRIS BROWN msalabani kwa mara ya pili baada ya kupigana na msanii mwenzake habae kwajina anfahamika kama FRANK OCEAN siku ya leo na kufikishwa kizimbzni tena amepost picha hii kwenye mtandao wa instagram nakuomba sorry kwa mafanz wake kwa jambo alilo lifanya na huku akimuomba msamaa na msanii mwenzake frank ocean ila frank ameonekana akiendelea na mishe zake na kuto ongea chochote kile kuhusu ugomvi wao yeye na chris.huku chris Brown akisema maneno haya"Elevate yourself above the negative and if it doesn't work move on! I respect myself enough as well as my fans to wanna be great!"aliongea mr brown
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment