KAOLE YA RUDI TENA RUNINGANI

11kaoneUnaposikia jina Kaole Sanaa Group kama ulikua mfatiliaji wa michezo ya kuigiza kwenye TV ni lazima utawakumbuka kina Muhogo Mchungu, Kingwendu na wengine ambao tuliwafahamu sana miaka ya nyuma ambapo sanaa ya uigizaji ilipoanza kupata umaarufu nchini na baadaye tukashuhudia sanaa hiyo ikikimbiwa na waigizaji wote kuingia kwenye biashara ya filamu.
Sasa good news ya leo ni kwamba Kaole wameamua kurudi kazini kama kikundi lakini time hii watatumia jina jingine ambalo ni KAONE huku Mwenyekiti wao ambaye ni Thea 
‘Tumeamua kujikusanya 12 na tumeamua kuanza na tamthilia yetu ya kwanza tuliyoipa jina la kipusa ambayo itakuwa ikuhusisha watoto wadogo lakini zaidi itakua ikihusisha mambo ya kisiasa– Thea.
14kaone

12kaone
11kaone
10kaone
8kaone
7kaone
1kaone
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment