Picha 9 kutoka Johannesburg ikiwemo ya Winnie Mandela na Graca Machel. #R.I.PMandela

madiba 5Marais zaidi ya 90 wa nchi mbalimbali duniani akiwemo Barack Obama wa Marekani ni miongoni mwa maelfu ya waliojitokeza Johannesburg South Africa kwenye uwanja wa soka wa FNB leo kumuaga Mzee Mandela anaetarajiwa kuzikwa Jumapili ijayo December 15 2013.
madiba 9
madiba 6Serikali ya Afrika Kusini imeimarisha ulinzi kwa kutumia vikosi vyake vya jeshi vyenye ulinzi wa hali ya juu ambapo sniper team ni miongoni mwa wanaohusika na ulinzi kwenye eneo lote la kiwanja anakoagiwa Mzee Mandela huku helicopter pamoja na ndege za kijeshi zikipita angani mara kwa mara.
Madiba 1Kwenye uwanja huu wa FNB, ndio ilikua sehemu ya mwisho ya Mzee Mandela kuonekana hadharani… kipindi cha kombe la dunia mwaka 2010.
madiba 2
madiba 7
FNB Stadium in Soweto
madiba 4
madiba 3
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment