ATIKISA JIJI LA MWANZA KWA MARA NYENGINE TENA



MONDI
Silaha hatari kama kawaida yao wakianza taratibu.....Mpera Mpera tu
hadi kieleweke''


Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu.......
wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...?




Rama Mpauka akimseti roboti wake 
Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa
wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani



....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima....



Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati
 wa watu waliofurika wakishuhudia
 amsha amsha ya wasafi





nimpende nani sasaaa...........???

Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....??
Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua


hakika nilikumbuka kigoma............





siwasikii..etiii??






haya twende sasa mashetani yashanianza.............

aaah..wosaaa aiiiii.....wosaaaaaa...ha ha ha ..vijana
wangu wakinipandisha mizuka

Ndiyo kusema nani amenunaa??nani
 amenunaaa??siwasikii..nani...??



SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment