| ||
| Silaha hatari kama kawaida yao wakianza taratibu.....Mpera Mpera tu hadi kieleweke'' |
| Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu....... wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...? |
| Rama Mpauka akimseti roboti wake |
| Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani |
| ....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima.... |
| Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati wa watu waliofurika wakishuhudia amsha amsha ya wasafi |
| nimpende nani sasaaa...........??? |
| Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....?? Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua |
| hakika nilikumbuka kigoma............ |
| siwasikii..etiii?? |
| haya twende sasa mashetani yashanianza............. |
| aaah..wosaaa aiiiii.....wosaaaaaa...ha ha ha ..vijana wangu wakinipandisha mizuka |
| Ndiyo kusema nani amenunaa??nani amenunaaa??siwasikii..nani...?? |
0 comments:
Post a Comment