WAPENZI WAWILI KUTOKA CONGO WAJINYONGA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE

habari kwa ufupi ni kwamba wazazi wa kiume walikuwa hawataki kijana yao kumuoa huyo msichana ndio vijana hawa wawili wapendanao wakachukuwa jukumu la kujinyonga.
USHAURI WA BURE KWA WAZAZI
wawe wanafikiria mahamuzi yao kabla hawajahamua kufanya chochote
na ivyo ivyo pia kwa vijana wapendanao kama hawa wawili inawapasa mfikilie kwa kina sana kablaa amjahamua kufanya mahamuzi kama haya au yoyote yale kama kweli mnapendana na mnataka kuwa mume na mke.kujiua sio njia sahihi na nikosa kisheria hapa duniani na hata mbinguni
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment