RICK ROSS AZUA TIMBWILI JIPYA



Rick Ross, the 'bawse' mwenyewe, this tym round kwenye headlines na hii hapa tena.... story ni kwamba rapa huyu kwa sasa anakabiliwa na mashtaka/madai ya fidia kutokana na kutokulipa deni alilokuwa nalo baada ya kununua saa tatu za dhahabu aina ya Rolex zenye thamani ya dola  $89,847.50, ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 145 za kitanzania.

 Kutoka huko Texas Marekani, Johnny's Custom Jewelry ndio wadai wa msanii huyu, na madai yao ni dhidi ya Ross na May bach Music Group kwa ujumla, ambapo bishara hii ambayo mwisho wa siku haikukamilika ilifanyika mwezi August mwaka jana.

Taarifa za kiuchunguzi zinasema kuwa, kwa muda wote huo Johnny's Custom Jewelry wamekuwa wakimsikilizia Ross kulipa 'mulla' yao kistaarabu kutokana na hadhi yake, lakini kutokana na muelekeo wa mambo, kwao imeonekana dhahiri kuwa hakuna dalili yoyote ya malipo na muda ndio unazidi kuyoyoma.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment