FLAVIANA MATATA: U MODEL KAZI

Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Tanzania Flaviana Matata amesema kazi ya kuonyesha mitindo siyo rahisi kama wengi wanavyodhani na kusisitiza si kila msichana au mvulana anaweza kufanya kazi hiyo.

Flaviana alisema hayo muda mfupi baada ya kuingia mkataba na wa kutangaza nguo za kampuni inayoongoza nchini afrika ya kusini na Mashariki ya kati ya truworths "Ni faraja kubwa kupata mkataba hii na hii inatokana na juhudi zangu na za mkurungezi wa Compass Communications, Maria sarungi kwa kuniongoza vyema mpaka sasa nimeweza kushiriki katika matukio mengi ya kimataifa nje ya tanzania
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment