2CHAIN AKANA KUIBIWA WALET YAKE NA WATU WALIO KUJA NA SILAHA ZA MOTO



siku mbili tu baada ya habari kuenea kuwa 2chainz ameibiwa walet yake na watu waliokuwa na silaha, leo hii ameibuka na kukanusha habari hizo na kudai kuwa si yeye alieibiwa bali ni mtu mwingine ambae alikuwa nae , na polisi nao wako upande wake .
''hakuwa muathirika wa tukio, alikuwepo eneo la tukio lakini hakuwa muathirika, wameripoti Radio.com.
kama hiyo haitoshi Chainz aliingia twitter na kuandika, “Rule #1 if a rapper gets robbed people usually post items that has been taken. Rings, chains, watch , money etc. 2 answer that question. Rule#2 if a rapper gets shot he usually go to hospital or dies. Rule# 3 we definitely got geeked up in San Fran , best smoke in the world. 2 blessed 2 stress. I reportedly killed summer jam tho! #bayarea.”

SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment